[go: up one dir, main page]

Radim (kutoka Kicheki; kwa Kipolandi Radzim; jina la kitawa: Gaudencius[1], Gaudentius[2]; Libice, leo nchini Ucheki 970 hivi – Gniezno, leo nchini Polandi, 14 Oktoba 1020 hivi) alikuwa askofu mkuu wa kwanza wa Polandi[3], akiwa na makao makuu huko Gniezno tangu mwaka 1000.

Sanamu ya Mt. Radim Gaudentius akimfuata Mt. Adalbert, Libice nad Cidlinou, Ucheki.

Kabla ya hapo alikuwa amemfuata kaka yake, Adalberto wa Praha, katika monasteri na katika umisionari kwa Waprusia, akashuhudia alivyochomwa kwa mikuki na Wapagani kadhaa, naye mwenyewe alifungwa gerezani [4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Oktoba[5].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. Wihoda, Martin (25 Septemba 2015). Vladislaus Henry: The Formation of Moravian Identity. ISBN 9789004303836.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Davies, Norman (24 Februari 2005). Norman Davies: God's Playground. ISBN 9780199253395.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Berend, Nora (22 Novemba 2007). Christianization and the Rise of Christian Monarchy: Scandinavia, Central Europe and Rus' C. 900-1200. Cambridge University Press. uk. 282. ISBN 978-0-521-87616-2.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/74030
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo

hariri
  • Attwater, D.: Slovník svatých, Vimperk 1993
  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
  • Bruno z Querfurtu: Život svatého Vojtěcha, Praha 1996
  • Kolektiv: Bohemia Sancta: životopisy českých světců a přátel Božích, Praha 1990
  • Kolektiv: Svatý Vojtěch, sborník k mileniu, Praha 1997
  • Michal Lutovský, Zdeněk Petráň: Slavníkovci ISBN 80-7277-291-0

Viungo vya nje

hariri

Virtual tour Gniezno Cathedral Archived 2020-07-17 at the Wayback Machine

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.